Episode Details
Back to EpisodesMgomo wamadaktari wa tikisa sekta ya matibabu Kenya
Published 2 years, 3 months ago
Description
Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) ulizindua mgomo wa kitaifa ukitaka mazingira bora ya kazi na nyongeza ya mishahara Machi 13.