Episode Details
Back to EpisodesMaandamano ya upizani DRC yatishia kuapishwa kwa Rais Tshisekedi
Published 2 years, 5 months ago
Description
Wawili kati ya wagombea wakuu wa upinzani kwenye uchaguzi wa Disemba mwaka jana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wameitisha maandamano Jumamosi wakati wa kuapishwa kwa Rais Felix Tshisekedi kuongoza muhala wa pili.