Episode Details
Back to EpisodesGermain "sita ishi Kinshasa niki shinda uchaguzi, nita ishi na walio nichagua"
Published 2 years, 6 months ago
Description
Wagombea wa nyadhifa mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wame maliza kampeni zao, sasa wanasubiri hukumu ya wananchi.