Episode Details
Back to EpisodesTaarifa ya Habari 18 Disemba 2023
Published 2 years, 6 months ago
Description
Baadhi ya wakaaji katika eneo la Kaskazini Queensland wamelazimika kupanda juu ya paa za nyumba zao, wakisubiri kuokolewa, wakati mvua nzito iliyo sababishwa na kimbunga chaki tropiki Jasper inasababisha mafuriko katika kanda hiyo.