Episode Details
Back to EpisodesTaarifa ya Habari 10 Oktoba 2023
Published 2 years, 9 months ago
Description
Maandamano yakupinga Israel yameshuhudiwa mjini Sydney wakati wa makabiliano kati ya jeshi la Israel na Hamas yakiendelea, wakati huo huo mjini Perth, kundi linalo unga mkono Israel limeshiriki katika ibada maalum kwa niaba ya nchi hiyo.