Episode Details
Back to EpisodesBobi Wine awekwa katika kizuizi cha nyumbani muda mfupi baada yakuwasili Uganda
Published 2 years, 9 months ago
Description
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine amesema siku ya Alhamisi amewekwa katika kizuizi cha nyumbani, baada ya kukamatwa na maafisa wa usalama alipokuwa akirejea nyumbani akitokea nje ya nchi.