Episode Details

Back to Episodes

Bobi Wine awekwa katika kizuizi cha nyumbani muda mfupi baada yakuwasili Uganda

Published 2 years, 9 months ago
Description
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine amesema siku ya Alhamisi amewekwa katika kizuizi cha nyumbani, baada ya kukamatwa na maafisa wa usalama alipokuwa akirejea nyumbani akitokea nje ya nchi.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us