Episode Details

Back to Episodes

Dkt Annefrida "Spika Ackson ameshindwa kusimamia demokrasia ndani ya bunge"

Published 2 years, 11 months ago
Description
Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limeitolea mwito serikali ya Tanzania kuacha kuwakandamiza wakosoaji wake baada ya mamlaka za nchi hiyo kuwakamata watu wanaopinga mkataba wa uendeshaji bandari.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us