Episode Details

Back to Episodes

Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi

Published 2 years, 11 months ago
Description
Vikao vya bunge la shirikisho vime anza tena baada ya likizo ya mwezi mzima, kwa kiongozi wa upinzani Peter Dutton na waziri mkuu wa zamani Scott Morrison kuzungumzia shutma zilizo tolewa wakati wa likizo kuhusu mienendo yao ya awali.
Listen Now

Love PodBriefly?

If you like Podbriefly.com, please consider donating to support the ongoing development.

Support Us